Search

85 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Mei mosi na tishio afya za wachezaji

    Kila Mei Mosi kwa mwaka inaadhimishwa siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani. Chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania na nchi duniani iliyoazimisha siku hiyo hapo jana.

  2. SPOTI DOKTA: Sababu ya majeraha ya Inonga, Lomalisa

    KATIKA Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara kati watani wa jadi, Simba na Yanga iliyochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa ilishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1.

  3. Madhara ya mchezaji kukwatuliwa mara nyingi

    Huwa ni kawaida mashabiki au watazamaji wa soka kuwa wepesi wa kulaumu pale wanapoona mchezaji anacheza soka laini au kwa woga uwanjani.

  4. SPOTI DOKTA: Utamu wa Mkude uko hapa

    Wakati Jonas Mkude anatua Yanga 2023 akitokea Simba ambayo aliitumikia kwa kipindi cha miaka zaidi ya miaka 10 ilionekana kuwa zama zake zimekwisha.

  5. SPOTIDOKTA: Sababu za kuanguka na kufariki dunia ghafla

    JANA Jumamosi kwenye ukumbi wa Target, uliopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam mwanamuziki mkongwe wa FM Academia, Maluu Stonch 'Nuhu' alianguka ghafla akiwa jukwaani akiimba kabla ya kukumbwa na...

  6. SPOTI DOKTA: Siku ya Afya Duniani, mwanamichezo zingatia haya

    Keshokutwa ni siku ya Afya Duniani chini ya mwamvuli wa Shirika la Afya (WHO) kwani Aprili 7 ya kila mwaka ni siku ya kimataifa ya afya. Mwaka huu kaulimbiu inasema “Afya yako, haki yako.”

  7. SPOTIDOKTA: Haller alivyopona saratani na kubeba Afcon 2023

    MSHAMBULIAJI wa Ivory Coast, Sebastian Haller amekuwa gumzo katika vyombo vya habari na hii ni baada ya kuisaidia nchi yake kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2023). Mwamba huyu...

  8. Hiki ndicho kilichomsumbua Victor Osimhen

    Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria, Victor Osimhen alilazimika kuachwa jijini Abidjan Jumanne kuelekea mchezo wa jana wa nusu fainali dhidi ya Afrika ya Kusini kutokana na kuumwa...

  9. SPOTIDOKTA: Kwanini mapumziko dakika tatu Afcon?

    MASHINDANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2023 yanayofanyika nchini Ivory Coast yanazidi kusonga mbele mara baada ya kumalizika hatua ya mtoano na kesho inaanza robo fainali. Hatua ya...

  10. SPOTI DOKTA: De Bryune kama vile hakuwa majeruhi

    KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne ‘KDB’ amerudi kutoka kwenhye majeraha akiwa na makali yake kama awali kabla ya kuwa nje kwa miezi mitano baada ya kuumia misuli ya paja Agosti mwaka janma.

Page 1 of 9

Next